Zaburi 94:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana Yehova hatawaacha watu wake,+Wala hatauacha urithi wake mwenyewe.+ Yeremia 31:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 “‘Kama masharti haya yangeweza kuondolewa mbele zangu,’+ asema Yehova, ‘vivyo hivyo wale ambao ni uzao wa Israeli wangeweza kukoma wasiwe taifa mbele zangu sikuzote.’”+
36 “‘Kama masharti haya yangeweza kuondolewa mbele zangu,’+ asema Yehova, ‘vivyo hivyo wale ambao ni uzao wa Israeli wangeweza kukoma wasiwe taifa mbele zangu sikuzote.’”+