Zaburi 148:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Naye huendelea kuvisimamisha milele, mpaka wakati usio na kipimo.+Amelitoa sharti, nalo halitapitilia mbali.+ Isaya 54:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana huenda milima ikaondolewa, na huenda vilima vikayumba-yumba,+ lakini fadhili zangu zenye upendo hazitaondolewa kwako,+ wala agano langu la amani halitayumba-yumba,”+ Yehova, Yule anayekuonyesha rehema,+ amesema. Yeremia 33:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Yehova amesema hivi, ‘Ikiwa ninyi mnaweza kulivunja agano langu la mchana na agano langu la usiku, ili mchana na usiku usije kwa wakati wake,+
6 Naye huendelea kuvisimamisha milele, mpaka wakati usio na kipimo.+Amelitoa sharti, nalo halitapitilia mbali.+
10 Kwa maana huenda milima ikaondolewa, na huenda vilima vikayumba-yumba,+ lakini fadhili zangu zenye upendo hazitaondolewa kwako,+ wala agano langu la amani halitayumba-yumba,”+ Yehova, Yule anayekuonyesha rehema,+ amesema.
20 “Yehova amesema hivi, ‘Ikiwa ninyi mnaweza kulivunja agano langu la mchana na agano langu la usiku, ili mchana na usiku usije kwa wakati wake,+