Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 148:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Naye huendelea kuvisimamisha milele, mpaka wakati usio na kipimo.+

      Amelitoa sharti, nalo halitapitilia mbali.+

  • Isaya 54:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana huenda milima ikaondolewa, na huenda vilima vikayumba-yumba,+ lakini fadhili zangu zenye upendo hazitaondolewa kwako,+ wala agano langu la amani halitayumba-yumba,”+ Yehova, Yule anayekuonyesha rehema,+ amesema.

  • Yeremia 33:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “Yehova amesema hivi, ‘Ikiwa ninyi mnaweza kulivunja agano langu la mchana na agano langu la usiku, ili mchana na usiku usije kwa wakati wake,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki