Zaburi 119:91 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 91 Kulingana na maamuzi yako ya hukumu, vimesimama mpaka leo,+Kwa maana vyote hivyo ni watumishi wako.+ Yeremia 31:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 “‘Kama masharti haya yangeweza kuondolewa mbele zangu,’+ asema Yehova, ‘vivyo hivyo wale ambao ni uzao wa Israeli wangeweza kukoma wasiwe taifa mbele zangu sikuzote.’”+ Yeremia 33:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “Yehova amesema hivi, ‘Kama haingekuwa kweli kwamba nilikuwa nimeliweka agano langu la mchana na usiku,+ sheria za mbingu na dunia,+
91 Kulingana na maamuzi yako ya hukumu, vimesimama mpaka leo,+Kwa maana vyote hivyo ni watumishi wako.+
36 “‘Kama masharti haya yangeweza kuondolewa mbele zangu,’+ asema Yehova, ‘vivyo hivyo wale ambao ni uzao wa Israeli wangeweza kukoma wasiwe taifa mbele zangu sikuzote.’”+
25 “Yehova amesema hivi, ‘Kama haingekuwa kweli kwamba nilikuwa nimeliweka agano langu la mchana na usiku,+ sheria za mbingu na dunia,+