Ayubu 38:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Je, umepata kujua sheria za mbingu,+Au, je, unaweza kutia amri yake duniani? Zaburi 74:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Mchana ni wako; pia, usiku ni wako.+Wewe mwenyewe uliutayarisha mwanga, naam, jua.+ Zaburi 104:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Ameufanya mwezi kwa ajili ya nyakati zilizowekwa;+Jua linajua vema mahali linapotua.+ Yeremia 31:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Yehova, Mpaji wa jua kwa ajili ya nuru wakati wa mchana,+ sheria+ za mwezi+ na nyota kwa ajili ya nuru wakati wa usiku,+ Yeye anayeichafua bahari ili mawimbi yake yawe na mchafuko,+ Yeye ambaye jina lake ni Yehova wa majeshi,+ amesema hivi:
35 Yehova, Mpaji wa jua kwa ajili ya nuru wakati wa mchana,+ sheria+ za mwezi+ na nyota kwa ajili ya nuru wakati wa usiku,+ Yeye anayeichafua bahari ili mawimbi yake yawe na mchafuko,+ Yeye ambaye jina lake ni Yehova wa majeshi,+ amesema hivi: