Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 38:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Je, umepata kujua sheria za mbingu,+

      Au, je, unaweza kutia amri yake duniani?

  • Zaburi 74:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Mchana ni wako; pia, usiku ni wako.+

      Wewe mwenyewe uliutayarisha mwanga, naam, jua.+

  • Zaburi 104:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Ameufanya mwezi kwa ajili ya nyakati zilizowekwa;+

      Jua linajua vema mahali linapotua.+

  • Yeremia 31:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Yehova, Mpaji wa jua kwa ajili ya nuru wakati wa mchana,+ sheria+ za mwezi+ na nyota kwa ajili ya nuru wakati wa usiku,+ Yeye anayeichafua bahari ili mawimbi yake yawe na mchafuko,+ Yeye ambaye jina lake ni Yehova wa majeshi,+ amesema hivi:

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki