35 Yehova, Mpaji wa jua kwa ajili ya nuru wakati wa mchana,+ sheria+ za mwezi+ na nyota kwa ajili ya nuru wakati wa usiku,+ Yeye anayeichafua bahari ili mawimbi yake yawe na mchafuko,+ Yeye ambaye jina lake ni Yehova wa majeshi,+ amesema hivi:
41 Utukufu wa jua+ ni wa namna moja, na utukufu wa mwezi+ ni mwingine, na utukufu wa nyota+ ni mwingine; kwa kweli, nyota hutofautiana na nyota kwa utukufu.