Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 1:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na Mungu akaifanya mianga mikubwa miwili. Mwanga mkubwa utawale mchana na mwanga mdogo utawale usiku, na pia nyota.+

  • Zaburi 136:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Mwezi na nyota ili zitawale pamoja wakati wa usiku:+

      Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+

  • Yeremia 31:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Yehova, Mpaji wa jua kwa ajili ya nuru wakati wa mchana,+ sheria+ za mwezi+ na nyota kwa ajili ya nuru wakati wa usiku,+ Yeye anayeichafua bahari ili mawimbi yake yawe na mchafuko,+ Yeye ambaye jina lake ni Yehova wa majeshi,+ amesema hivi:

  • 1 Wakorintho 15:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Utukufu wa jua+ ni wa namna moja, na utukufu wa mwezi+ ni mwingine, na utukufu wa nyota+ ni mwingine; kwa kweli, nyota hutofautiana na nyota kwa utukufu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki