Mwanzo 1:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 na kutawala mchana na usiku na kutenganisha nuru na giza.+ Kisha Mungu akaona ya kuwa ilikuwa vyema.+ Ayubu 31:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Ikiwa nilikuwa nikiona nuru wakati ilipowaka,Au mwezi wenye fahari ukisonga,+ Zaburi 8:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ninapoziona mbingu zako, kazi za vidole vyako,+Mwezi na nyota ambazo umetayarisha,+
18 na kutawala mchana na usiku na kutenganisha nuru na giza.+ Kisha Mungu akaona ya kuwa ilikuwa vyema.+