Methali 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa hekima Yehova mwenyewe aliuweka msingi wa dunia.+ Aliziweka mbingu imara kwa utambuzi.+ Yeremia 31:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Yehova, Mpaji wa jua kwa ajili ya nuru wakati wa mchana,+ sheria+ za mwezi+ na nyota kwa ajili ya nuru wakati wa usiku,+ Yeye anayeichafua bahari ili mawimbi yake yawe na mchafuko,+ Yeye ambaye jina lake ni Yehova wa majeshi,+ amesema hivi: Yeremia 33:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “Yehova amesema hivi, ‘Kama haingekuwa kweli kwamba nilikuwa nimeliweka agano langu la mchana na usiku,+ sheria za mbingu na dunia,+
35 Yehova, Mpaji wa jua kwa ajili ya nuru wakati wa mchana,+ sheria+ za mwezi+ na nyota kwa ajili ya nuru wakati wa usiku,+ Yeye anayeichafua bahari ili mawimbi yake yawe na mchafuko,+ Yeye ambaye jina lake ni Yehova wa majeshi,+ amesema hivi:
25 “Yehova amesema hivi, ‘Kama haingekuwa kweli kwamba nilikuwa nimeliweka agano langu la mchana na usiku,+ sheria za mbingu na dunia,+