Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 3:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kwa hekima Yehova mwenyewe aliuweka msingi wa dunia.+ Aliziweka mbingu imara kwa utambuzi.+

  • Yeremia 31:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Yehova, Mpaji wa jua kwa ajili ya nuru wakati wa mchana,+ sheria+ za mwezi+ na nyota kwa ajili ya nuru wakati wa usiku,+ Yeye anayeichafua bahari ili mawimbi yake yawe na mchafuko,+ Yeye ambaye jina lake ni Yehova wa majeshi,+ amesema hivi:

  • Yeremia 33:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 “Yehova amesema hivi, ‘Kama haingekuwa kweli kwamba nilikuwa nimeliweka agano langu la mchana na usiku,+ sheria za mbingu na dunia,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki