2 Naye Yeshua+ mwana wa Yehosadaki na ndugu zake makuhani na Zerubabeli+ mwana wa Shealtieli+ na ndugu zake wakasimama na kujenga madhabahu ya Mungu wa Israeli, ili kutoa dhabihu za kuteketezwa juu yake, kulingana na yaliyoandikwa+ katika sheria ya Musa mtu wa Mungu wa kweli.