2 Yeshua+ mwana wa Yehosadaki na makuhani wenzake na Zerubabeli+ mwana wa Shealtieli+ na ndugu zake wakasimama na kujenga madhabahu ya Mungu wa Israeli, ili kutoa dhabihu za kuteketezwa juu yake, kama ilivyoandikwa katika Sheria ya Musa,+ mtu wa Mungu wa kweli.