24 Mtanijengea madhabahu ya udongo, na juu yake mtanitolea dhabihu zenu za kuteketezwa, dhabihu zenu za ushirika,* kondoo, mbuzi, na ng’ombe wenu. Mahali popote nitakapochagua jina langu likumbukwe,+ nitawajia, nami nitawabariki.
29 Akaweka madhabahu ya dhabihu za kuteketezwa+ kwenye mlango wa hema la ibada, yaani, hema la mkutano, ili atoe juu yake dhabihu za kuteketezwa+ na matoleo ya nafaka, kama Yehova alivyomwamuru Musa.