2 Samweli 22:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Yehova na anilipe kulingana na uadilifu wangu,+Kulingana na usafi wangu mbele za macho yake.+ Zaburi 15:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yeye anayetembea bila kosa+ na kuzoea kutenda uadilifu+Na kusema kweli katika moyo wake.+ Methali 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ndipo utakapoelewa uadilifu na hukumu na unyoofu, njia yote ya yaliyo mema.+ Methali 21:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kutenda uadilifu na hukumu kunampendeza Yehova kuliko dhabihu.+