Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 22:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Yehova na anilipe kulingana na uadilifu wangu,+

      Kulingana na usafi wangu mbele za macho yake.+

  • Zaburi 15:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Yeye anayetembea bila kosa+ na kuzoea kutenda uadilifu+

      Na kusema kweli katika moyo wake.+

  • Methali 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Ndipo utakapoelewa uadilifu na hukumu na unyoofu, njia yote ya yaliyo mema.+

  • Methali 21:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kutenda uadilifu na hukumu kunampendeza Yehova kuliko dhabihu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki