Zaburi 18:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Yehova na anilipe kulingana na uadilifu wangu,+Kulingana na usafi wa mikono yangu mbele za macho yake.+ Methali 5:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa maana njia za mwanadamu ziko mbele za macho ya Yehova,+ naye anayatafakari mapito yake yote.+
24 Yehova na anilipe kulingana na uadilifu wangu,+Kulingana na usafi wa mikono yangu mbele za macho yake.+