27 “‘Naye mwanamume au mwanamke atakayekuwa na roho ya kuwasiliana na pepo au roho ya kubashiri,+ lazima wauawe.+ Watawapiga hao kwa mawe na kuwaua. Damu yao wenyewe iko juu yao.’”+
3 Basi Samweli alikuwa amekufa, na Israeli wote walikuwa wamemwombolezea, wakamzika katika Rama jiji lake.+ Naye Sauli alikuwa amewaondolea mbali kutoka katika nchi wenye kuwasiliana na pepo na wajuzi wa kubashiri matukio.+