10 Asipatikane ndani yako yeyote anayempitisha mwana wake au binti yake katikati ya moto,+ yeyote anayefanya uaguzi,+ mwenye kufanya uchawi+ au yeyote anayetafuta ishara za bahati+ au mlozi,+
7 Mwishowe Sauli akawaambia watumishi wake: “Nitafutieni mwanamke ambaye ni stadi wa kuwasiliana na pepo,+ nami nitaenda kwake nitafute shauri kutoka kwake.” Ndipo watumishi wake wakamwambia: “Tazama! Kuna mwanamke katika En-dori ambaye ni stadi wa kuwasiliana na pepo.”+
8 Lakini kwa habari ya waoga na wale wasio na imani+ na wale wenye kuchukiza katika uchafu+ wao na wauaji+ na waasherati+ na wale wanaozoea kuwasiliana na pepo na waabudu-sanamu+ na waongo+ wote, fungu lao litakuwa ndani ya lile ziwa linalowaka moto+ na kiberiti.+ Hili linamaanisha kifo cha pili.”+