Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 22:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Usimhifadhi hai mwanamke mlozi.+

  • Mambo ya Walawi 19:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 “‘Msiwaendee wenye kuwasiliana na pepo,+ wala msitafute shauri la wajuzi wa kubashiri matukio,+ ili kutiwa unajisi nao. Mimi ni Yehova Mungu wenu.

  • Mambo ya Walawi 20:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “‘Nayo nafsi inayowaendea wenye kuwasiliana na pepo+ na wajuzi wa kubashiri+ matukio ili kufanya uasherati nao, nitauweka uso wangu juu ya nafsi hiyo na kumkatilia mbali kutoka katikati ya watu wake.+

  • 1 Samweli 15:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 kwa maana uasi+ ni sawa na dhambi ya uaguzi,+ na kwenda kwa kimbelembele ni sawa na kutumia nguvu za uchawi na terafimu.+ Kwa kuwa umelikataa neno la Yehova,+ basi yeye pia amekukataa wewe usiwe mfalme.”+

  • 1 Samweli 28:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Basi Samweli alikuwa amekufa, na Israeli wote walikuwa wamemwombolezea, wakamzika katika Rama jiji lake.+ Naye Sauli alikuwa amewaondolea mbali kutoka katika nchi wenye kuwasiliana na pepo na wajuzi wa kubashiri matukio.+

  • Isaya 8:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Nao wakiwaambia ninyi: “Toeni maombi kwa wenye kuwasiliana na pepo+ au kwa wale wenye roho ya kubashiri wanaonong’oneza+ na kusema maneno kwa sauti za chini,” je, kundi lolote la watu halipaswi kutoa maombi kwa Mungu wake?+ Je, maombi yatolewe kwa watu waliokufa kwa ajili ya watu walio hai?+

  • Waebrania 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Jihadharini, akina ndugu, ili moyo mwovu unaokosa imani usije ukasitawi ndani ya yeyote kati yenu kwa kujiondoa kwa Mungu aliye hai;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki