11 au anayefunga wengine kwa kuwatakia maovu+ au yeyote anayetafuta shauri kwa mwenye kuwasiliana na pepo+ au mjuzi wa kubashiri matukio+ au yeyote anayeuliza habari kutoka kwa wafu.+
8 Lakini kwa habari ya waoga na wale wasio na imani+ na wale wenye kuchukiza katika uchafu+ wao na wauaji+ na waasherati+ na wale wanaozoea kuwasiliana na pepo na waabudu-sanamu+ na waongo+ wote, fungu lao litakuwa ndani ya lile ziwa linalowaka moto+ na kiberiti.+ Hili linamaanisha kifo cha pili.”+