Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 19:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “‘Msile kitu chochote pamoja na damu.+

      “‘Msitafute ishara za bahati,+ wala msifanye uchawi.+

  • Mambo ya Walawi 20:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “‘Nayo nafsi inayowaendea wenye kuwasiliana na pepo+ na wajuzi wa kubashiri+ matukio ili kufanya uasherati nao, nitauweka uso wangu juu ya nafsi hiyo na kumkatilia mbali kutoka katikati ya watu wake.+

  • Kumbukumbu la Torati 18:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Asipatikane ndani yako yeyote anayempitisha mwana wake au binti yake katikati ya moto,+ yeyote anayefanya uaguzi,+ mwenye kufanya uchawi+ au yeyote anayetafuta ishara za bahati+ au mlozi,+

  • 1 Samweli 28:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Basi Samweli alikuwa amekufa, na Israeli wote walikuwa wamemwombolezea, wakamzika katika Rama jiji lake.+ Naye Sauli alikuwa amewaondolea mbali kutoka katika nchi wenye kuwasiliana na pepo na wajuzi wa kubashiri matukio.+

  • Wagalatia 5:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 ibada ya sanamu, mazoea ya kuwasiliana na pepo,+ uadui, mizozo, wivu, milipuko ya hasira, magomvi, migawanyiko, madhehebu,

  • Ufunuo 22:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Nje kuna mbwa+ na wale wenye mazoea ya kuwasiliana na pepo+ na waasherati+ na wauaji na waabudu-sanamu na kila mtu anayependezwa na uwongo+ na kuendelea kuutenda.’

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki