Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 31:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Sasa Labani alikuwa ameenda kunyoa kondoo wake. Wakati huohuo Raheli aliiba terafimu+ zilizokuwa za baba yake.

  • Mwanzo 35:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Basi Yakobo akawaambia watu wa nyumba yake na wote waliokuwa pamoja naye: “Iondoleeni mbali miungu ya kigeni iliyo katikati yenu,+ nanyi mjisafishe na kubadili nguo zenu za kujitanda,+

  • Waamuzi 18:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Basi akasema: “Mmeichukua miungu+ ambayo nilitengeneza,+ kuhani+ pia, nanyi mnaenda zenu, nami nina nini tena?+ Basi mnawezaje kuniambia, ‘Una nini wewe?’”

  • Isaya 37:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Je, miungu+ ya mataifa ambayo mababu zangu waliharibu imeyakomboa,+ naam, Gozani+ na Harani+ na Resefu na wana wa Edeni+ waliokuwa katika Tel-asari?

  • Matendo 19:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Pia, mnaona na kusikia jinsi si katika Efeso+ tu, bali pia katika karibu wilaya yote ya Asia, Paulo huyu ameshawishi umati mkubwa na kuwageuza kwenye kauli nyingine, akisema kwamba wale waliofanywa kwa mikono+ si miungu.

  • 1 Wakorintho 10:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa hiyo, wapendwa wangu, ikimbieni+ ibada ya sanamu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki