17 Lakini mabaki yake huyafanya kuwa mungu, kuwa sanamu yake ya kuchongwa. Huisujudia na kuinama na kuitolea sala na kusema: “Nikomboe, kwa maana wewe ni mungu wangu.”+
17 Kila mtu amejiendesha kwa kukosa sana kutumia akili asiweze kujua.+ Kila fundi wa chuma ataona aibu kwa sababu ya sanamu ya kuchongwa;+ kwa maana sanamu yake ya kuyeyushwa ni uwongo,+ na hamna roho ndani ya hizo.+