Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 11:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Baadaye Harani akafa akiwa angali na baba yake Tera katika nchi ya kuzaliwa kwake, katika Uru+ la Wakaldayo.+

  • Mwanzo 11:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Baada ya hapo Tera akamchukua mwana wake Abramu, na mjukuu wake Loti,+ mwana wa Harani, na binti-mkwe wake Sarai,+ mke wa mwana wake Abramu, nao wakaondoka Uru la Wakaldayo pamoja naye ili kwenda katika nchi ya Kanaani.+ Baadaye wakaja Harani+ na kukaa huko.

  • Mwanzo 15:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Siku hiyo Yehova akafanya agano na Abramu,+ akisema: “Nitaupatia uzao wako nchi hii,+ kutoka mto wa Misri mpaka ule mto mkubwa, mto Efrati:+

  • Yoshua 24:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Sasa ikiwa mnaona ni vibaya machoni penu kumtumikia Yehova, jichagulieni leo yule mtakayemtumikia,+ kama ni miungu ambayo waliitumikia+ mababu zenu waliokuwa ng’ambo ile nyingine ya Mto au kama ni miungu ya Waamori ambao mnakaa katika nchi yao.+ Lakini mimi na nyumba yangu, tutamtumikia Yehova.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki