Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 23:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Hutafanya agano pamoja nao au miungu yao.+

  • Kumbukumbu la Torati 7:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Sanamu za kuchongwa za miungu yao mtaziteketeza kwa moto.+ Usitamani fedha na dhahabu iliyo juu yake,+ wala usiichukue kwa ajili yako,+ usije ukanaswa nayo;+ kwa maana hizo ni chukizo+ kwa Yehova Mungu wako.

  • Kumbukumbu la Torati 13:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 baadhi ya miungu ya watu wanaowazunguka ninyi pande zote, wale walio karibu nawe au wale walio mbali nawe, kutoka mwisho mmoja wa nchi mpaka mwisho mwingine wa nchi,

  • Waamuzi 6:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Zaidi ya hayo, nikawaambia ninyi: “Mimi ni Yehova Mungu wenu.+ Msiogope miungu ya Waamori+ ambao mnakaa katika nchi yao.”+ Nanyi hamkuisikiliza sauti yangu.’”+

  • Waamuzi 10:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na wana wa Israeli wakaanza tena kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova,+ nao wakaanza kutumikia Mabaali+ na sanamu za Ashtorethi+ na miungu ya Siria+ na miungu ya Sidoni+ na miungu ya Moabu+ na miungu ya wana wa Amoni+ na miungu ya Wafilisti.+ Basi wakamwacha Yehova wala hawakumtumikia yeye.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki