Kutoka 34:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Jiangalie usije ukafanya agano pamoja na wakaaji wa nchi hiyo unayoiendea,+ isije ikawa mtego katikati yako.+ Hesabu 25:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na wanawake hao wakaja kuwaita watu waende kwenye dhabihu za miungu yao,+ nao watu wakaanza kula na kuinamia miungu yao.+ Kumbukumbu la Torati 7:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na Yehova Mungu wako hakika atawatia hao mkononi mwako, nawe utawashinda.+ Unapaswa kuwaangamiza.+ Usifanye agano lolote pamoja nao wala kuwaonyesha kibali chochote.+ 2 Wakorintho 6:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Msifungwe nira isivyo sawa pamoja na wasio waamini.+ Kwa maana kuna ushirika gani kati ya uadilifu na uasi-sheria?+ Au nuru ina ushirika gani na giza?+
12 Jiangalie usije ukafanya agano pamoja na wakaaji wa nchi hiyo unayoiendea,+ isije ikawa mtego katikati yako.+
2 Na wanawake hao wakaja kuwaita watu waende kwenye dhabihu za miungu yao,+ nao watu wakaanza kula na kuinamia miungu yao.+
2 Na Yehova Mungu wako hakika atawatia hao mkononi mwako, nawe utawashinda.+ Unapaswa kuwaangamiza.+ Usifanye agano lolote pamoja nao wala kuwaonyesha kibali chochote.+
14 Msifungwe nira isivyo sawa pamoja na wasio waamini.+ Kwa maana kuna ushirika gani kati ya uadilifu na uasi-sheria?+ Au nuru ina ushirika gani na giza?+