2 Wafalme 17:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 wakati Yehova alipofanya agano+ pamoja nao na kuwaamuru, akisema: “Msiogope miungu mingine,+ wala msiinamie wala kuitumikia wala kuitolea dhabihu.+ Yeremia 10:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yehova amesema hivi: “Msijifunze njia ya mataifa hata kidogo,+ wala msiingiwe na hofu kutokana na ishara za mbinguni, kwa sababu mataifa yanaingiwa na hofu kutokana nazo.+
35 wakati Yehova alipofanya agano+ pamoja nao na kuwaamuru, akisema: “Msiogope miungu mingine,+ wala msiinamie wala kuitumikia wala kuitolea dhabihu.+
2 Yehova amesema hivi: “Msijifunze njia ya mataifa hata kidogo,+ wala msiingiwe na hofu kutokana na ishara za mbinguni, kwa sababu mataifa yanaingiwa na hofu kutokana nazo.+