Yeremia 18:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Lakini wakasema: “Hakuna tumaini lolote!+ Kwa maana tutafuata mawazo yetu wenyewe, na kila mmoja wetu atatenda kulingana na ukaidi wa moyo wake mwovu.”+
12 Lakini wakasema: “Hakuna tumaini lolote!+ Kwa maana tutafuata mawazo yetu wenyewe, na kila mmoja wetu atatenda kulingana na ukaidi wa moyo wake mwovu.”+