2 Mambo ya Nyakati 33:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Manase aliendelea kuwapotosha watu wa Yuda na wakaaji wa Yerusalemu, akasababisha watende mambo maovu zaidi kuliko mataifa ambayo Yehova alikuwa ameyaangamiza kutoka mbele ya Waisraeli.+ 2 Mambo ya Nyakati Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 33:9 Mnara wa Mlinzi,10/1/1986, uku. 25
9 Manase aliendelea kuwapotosha watu wa Yuda na wakaaji wa Yerusalemu, akasababisha watende mambo maovu zaidi kuliko mataifa ambayo Yehova alikuwa ameyaangamiza kutoka mbele ya Waisraeli.+