Yeremia 33:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 ‘Tazama, ninamletea yeye nguvu na afya;+ nami nitawaponya na kuwafunulia wingi wa amani na kweli.+ Hosea 14:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Nitaponya ukosefu wao wa uaminifu.+ Nitawapenda kwa kupenda kwangu mwenyewe,+ kwa maana hasira yangu imegeuka kutoka kwake.+
4 “Nitaponya ukosefu wao wa uaminifu.+ Nitawapenda kwa kupenda kwangu mwenyewe,+ kwa maana hasira yangu imegeuka kutoka kwake.+