7 “Yehova hakuwaonyesha upendo hivi kwamba akawachagua kwa sababu mlikuwa kikundi chenye hesabu kubwa zaidi ya watu kuliko vikundi vyote,+ kwa maana ninyi ndio mliokuwa kikundi chenye watu wachache zaidi.+
17 Yehova Mungu wako yupo katikati yako. Kama Mwenye nguvu, ataokoa.+ Atakufurahia kwa shangwe.+ Atanyamaza katika upendo wake. Atakushangilia kwa vilio vya furaha.