Zaburi 78:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Lakini alikuwa mwenye rehema;+ akawa akilifunika kosa+ wala hakuharibu.+Na mara nyingi akageuzia mbali hasira yake,+Naye akawa haiamshi ghadhabu yake yote. Isaya 12:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na katika siku hiyo+ hakika wewe utasema: “Nitakushukuru, Ee Yehova, kwa maana ingawa ulinikasirikia, hasira yako ilirudi nyuma mwishowe,+ nawe ukanifariji.+
38 Lakini alikuwa mwenye rehema;+ akawa akilifunika kosa+ wala hakuharibu.+Na mara nyingi akageuzia mbali hasira yake,+Naye akawa haiamshi ghadhabu yake yote.
12 Na katika siku hiyo+ hakika wewe utasema: “Nitakushukuru, Ee Yehova, kwa maana ingawa ulinikasirikia, hasira yako ilirudi nyuma mwishowe,+ nawe ukanifariji.+