Kumbukumbu la Torati 6:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Unapaswa kumwogopa Yehova Mungu wako,+ nawe unapaswa kumtumikia yeye,+ nawe unapaswa kuapa kwa jina lake.+ Kumbukumbu la Torati 10:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Unapaswa kumwogopa Yehova Mungu wako.+ Unapaswa kumtumikia yeye,+ nawe unapaswa kushikamana naye,+ na kwa jina lake unapaswa kutoa ahadi zenye kiapo.+ Kumbukumbu la Torati 13:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mnapaswa kumfuata Yehova Mungu wenu, nanyi mnapaswa kumwogopa yeye, nanyi mnapaswa kuzishika amri zake, nanyi mnapaswa kuisikiliza sauti yake, nanyi mnapaswa kumtumikia yeye, nanyi mnapaswa kushikamana naye.+ Luka 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yesu akajibu akamwambia: “Imeandikwa, ‘Yehova Mungu+ wako ndiye unayepaswa kumwabudu, na yeye peke yake ndiye unayepaswa kumtolea utumishi mtakatifu.’ ”+
13 Unapaswa kumwogopa Yehova Mungu wako,+ nawe unapaswa kumtumikia yeye,+ nawe unapaswa kuapa kwa jina lake.+
20 “Unapaswa kumwogopa Yehova Mungu wako.+ Unapaswa kumtumikia yeye,+ nawe unapaswa kushikamana naye,+ na kwa jina lake unapaswa kutoa ahadi zenye kiapo.+
4 Mnapaswa kumfuata Yehova Mungu wenu, nanyi mnapaswa kumwogopa yeye, nanyi mnapaswa kuzishika amri zake, nanyi mnapaswa kuisikiliza sauti yake, nanyi mnapaswa kumtumikia yeye, nanyi mnapaswa kushikamana naye.+
8 Yesu akajibu akamwambia: “Imeandikwa, ‘Yehova Mungu+ wako ndiye unayepaswa kumwabudu, na yeye peke yake ndiye unayepaswa kumtolea utumishi mtakatifu.’ ”+