14 kwa hiyo, tazama, mimi hapa, yule Mmoja atakayekitendea tena kikundi hiki cha watu kwa njia ya ajabu,+ kwa njia ya ajabu na kwa jambo la ajabu; na hekima ya watu wao wenye hekima itaangamia, na uelewaji wa watu wao wenye busara utajificha.”+
25 Wakati huo Yesu akajibu, akasema: “Ninakusifu wewe hadharani, Baba, Bwana wa mbingu na dunia, kwa sababu umewaficha mambo haya wenye hekima na wenye akili na umeyafunua kwa watoto.+
28 Na kama vile ambavyo hawakukubali kumjua Mungu katika ujuzi sahihi,+ Mungu aliwaacha katika hali ya akili iliyokataliwa,+ ili wafanye mambo yasiyofaa,+
9 Kwa maana ikiwa mambo hayo hayapo ndani ya yeyote, yeye ni kipofu, akifunga macho yake yasione nuru,+ naye amesahau+ kutakaswa+ kwake kutoka katika dhambi zake za zamani za kale.