20 Kwa hiyo Daudi akaja Baal-perasimu,+ na Daudi akawapiga na kuwaua huko. Ndipo akasema: “Yehova amepenya katikati ya adui+ zangu mbele yangu, kama pengo lililofanyizwa na maji.” Ndiyo sababu alipaita mahali hapo jina Baal-perasimu.+
11 Kwa hiyo Daudi akapanda kwenda Baal-perasimu+ naye akawapiga na kuwaua huko. Ndipo Daudi akasema: “Mungu wa kweli amepenya katikati ya adui zangu kupitia kwa mkono wangu kama pengo lililofanyizwa na maji.” Ndiyo sababu walipaita mahali hapo+ jina Baal-perasimu.