2 Samweli 22:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Nao adui zangu, utanipa upande wa nyuma wa shingo yao;+Wale wanaonichukia vikali—nitawanyamazisha pia.+ Zaburi 29:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mhesabieni Yehova utukufu wa jina lake.+Mwinamieni Yehova katika pambo takatifu.+
41 Nao adui zangu, utanipa upande wa nyuma wa shingo yao;+Wale wanaonichukia vikali—nitawanyamazisha pia.+