21 Tena akafanya shauri+ na watu na kuweka waimbaji+ kwa ajili ya Yehova na wale wanaotoa sifa+ katika pambo takatifu+ wakienda mbele ya wale watu wenye silaha,+ na kusema: “Mpeni Yehova sifa,+ kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo.”+