Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 29:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Wakati huohuo akawaweka Walawi+ katika nyumba ya Yehova, wakiwa na matoazi,+ na vinanda+ na vinubi,+ kulingana na amri ya Daudi+ na ya Gadi+ mwonaji wa mfalme na ya nabii Nathani,+ kwa maana amri hiyo ilikuwa kulingana na mkono wa Yehova kupitia manabii wake.+

  • Ezra 3:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Wajenzi walipoweka msingi+ wa hekalu la Yehova, ndipo makuhani katika mavazi rasmi,+ wakiwa na tarumbeta,+ na Walawi wana wa Asafu,+ wakiwa na matoazi,+ wakasimama ili kumsifu Yehova kulingana na mwelekezo+ wa Daudi mfalme wa Israeli.

  • Nehemia 12:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Nao wakawatafuta Walawi wakati wa kuzindua+ ukuta wa Yerusalemu, ili kuwaleta kutoka mahali pao pote kuja Yerusalemu kuzindua na kushangilia kwa kutoa shukrani+ na kwa kuimba,+ kwa matoazi na vinanda+ na kwa vinubi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki