25 Wakati huohuo akawaweka Walawi+ katika nyumba ya Yehova, wakiwa na matoazi,+ na vinanda+ na vinubi,+ kulingana na amri ya Daudi+ na ya Gadi+ mwonaji wa mfalme na ya nabii Nathani,+ kwa maana amri hiyo ilikuwa kulingana na mkono wa Yehova kupitia manabii wake.+
10 Wajenzi walipoweka msingi+ wa hekalu la Yehova, ndipo makuhani katika mavazi rasmi,+ wakiwa na tarumbeta,+ na Walawi wana wa Asafu,+ wakiwa na matoazi,+ wakasimama ili kumsifu Yehova kulingana na mwelekezo+ wa Daudi mfalme wa Israeli.
27 Nao wakawatafuta Walawi wakati wa kuzindua+ ukuta wa Yerusalemu, ili kuwaleta kutoka mahali pao pote kuja Yerusalemu kuzindua na kushangilia kwa kutoa shukrani+ na kwa kuimba,+ kwa matoazi na vinanda+ na kwa vinubi.+