-
2 Mambo ya Nyakati 7:6Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
6 Na makuhani+ walikuwa wamesimama katika vituo vyao vya kazi, na Walawi+ wakiwa na vyombo vya nyimbo+ kwa Yehova ambavyo Daudi+ mfalme alikuwa amevitengeneza ili kumshukuru Yehova, “kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo,” wakati Daudi alipokuwa akitoa sifa kwa mkono wao; na makuhani walikuwa wakipiga kwa sauti kubwa zile tarumbeta+ mbele zao, huku Israeli wote wakiwa wamesimama.
-