1 Wafalme 10:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na mfalme akatengeneza kwa zile mbao za misandali vitegemeo kwa ajili ya nyumba ya Yehova+ na kwa ajili ya nyumba ya mfalme, na pia vinubi+ na vinanda+ kwa ajili ya waimbaji. Mbao za misandali kama hizo hazijaletwa wala kuonekana mpaka leo hii. Zaburi 138:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yehova mwenyewe atayamalizia mambo yaliyoko kwa ajili yangu.+Ee Yehova, fadhili zako zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo.+Usiziache kazi za mikono yako mwenyewe.+
12 Na mfalme akatengeneza kwa zile mbao za misandali vitegemeo kwa ajili ya nyumba ya Yehova+ na kwa ajili ya nyumba ya mfalme, na pia vinubi+ na vinanda+ kwa ajili ya waimbaji. Mbao za misandali kama hizo hazijaletwa wala kuonekana mpaka leo hii.
8 Yehova mwenyewe atayamalizia mambo yaliyoko kwa ajili yangu.+Ee Yehova, fadhili zako zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo.+Usiziache kazi za mikono yako mwenyewe.+