Ayubu 10:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mikono yako mwenyewe imeniunda hivi kwamba ikanifanyiza mimi+Mzima pande zote, na bado unataka kunimeza. Ayubu 14:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Wewe utaita, na mimi mwenyewe nitakujibu.+Kwa kuwa utaitamani sana kazi ya mikono yako. Zaburi 71:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na mpaka wakati wa uzee na wa kuwa na kichwa chenye mvi, Ee Mungu, usiniache,+Mpaka nikitangazie kizazi habari za mkono wako,+Habari za nguvu zako, kwa wale wote watakaokuja.+ 1 Petro 4:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa hiyo, basi, acheni wale wanaoteseka kwa kupatana na mapenzi ya Mungu waendelee kuzikabidhi nafsi zao kwa Muumba mwaminifu wanapotenda mema.+
8 Mikono yako mwenyewe imeniunda hivi kwamba ikanifanyiza mimi+Mzima pande zote, na bado unataka kunimeza.
18 Na mpaka wakati wa uzee na wa kuwa na kichwa chenye mvi, Ee Mungu, usiniache,+Mpaka nikitangazie kizazi habari za mkono wako,+Habari za nguvu zako, kwa wale wote watakaokuja.+
19 Kwa hiyo, basi, acheni wale wanaoteseka kwa kupatana na mapenzi ya Mungu waendelee kuzikabidhi nafsi zao kwa Muumba mwaminifu wanapotenda mema.+