Danieli 12:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “Wewe nawe, nenda zako kuelekea ule mwisho;+ nawe utapumzika,+ lakini utasimama kwa ajili ya fungu lako mwishoni mwa zile siku.”+ Yohana 5:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Msistaajabie jambo hili, kwa sababu saa inakuja ambayo wale wote waliomo ndani ya makaburi ya ukumbusho+ wataisikia sauti yake Yohana 11:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Na alipokuwa amekwisha kusema hayo, akaita kwa sauti kubwa: “Lazaro, njoo huku nje!”+
13 “Wewe nawe, nenda zako kuelekea ule mwisho;+ nawe utapumzika,+ lakini utasimama kwa ajili ya fungu lako mwishoni mwa zile siku.”+
28 Msistaajabie jambo hili, kwa sababu saa inakuja ambayo wale wote waliomo ndani ya makaburi ya ukumbusho+ wataisikia sauti yake