Zaburi 100:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana Yehova ni mwema;+Fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo,+Na uaminifu wake ni wa kizazi baada ya kizazi.+ Zaburi 103:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Lakini fadhili zenye upendo za Yehova ni za tangu wakati usio na kipimo mpaka wakati usio na kipimo+Kuwaelekea wale wanaomwogopa,+Na uadilifu wake kwa wana wa wana,+
5 Kwa maana Yehova ni mwema;+Fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo,+Na uaminifu wake ni wa kizazi baada ya kizazi.+
17 Lakini fadhili zenye upendo za Yehova ni za tangu wakati usio na kipimo mpaka wakati usio na kipimo+Kuwaelekea wale wanaomwogopa,+Na uadilifu wake kwa wana wa wana,+