5 “Maofisa+ pia watasema na watu, na kuwaambia, ‘Ni nani ambaye amejenga nyumba mpya naye hajaizindua? Na aende na kurudi nyumbani kwake, asije akafa vitani na mwanamume mwingine aizindue.+
63 Na Sulemani akaanza kutoa dhabihu za ushirika+ alizopasa kumtolea Yehova, ng’ombe 22,000 na kondoo 120,000,+ ili mfalme na wana wote wa Israeli waizindue+ nyumba ya Yehova.