14 Na Musa akaanza kuwa na ghadhabu kwa sababu ya wale wanaume waliowekwa rasmi wa majeshi ya vita,+ wakuu wa maelfu na wakuu wa mamia waliokuwa wakiingia kutoka katika safari hiyo ya kijeshi.
18 “Utaweka waamuzi+ na maofisa+ kwa ajili yako ndani ya malango yote ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe kulingana na makabila yako, nao watawahukumu watu kwa hukumu ya uadilifu.