Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 tazama, ninajenga+ nyumba kwa ajili ya jina+ la Yehova Mungu wangu, ili niitakase+ kwake, ili kufukiza mbele zake uvumba uliotiwa manukato,+ pamoja na mkate+ wa tabaka wa daima na matoleo ya kuteketezwa wakati wa asubuhi na jioni,+ wakati wa sabato+ na wakati wa miezi mipya+ na kwenye majira ya sherehe+ ya Yehova Mungu wetu. Hayo yatakuwa juu ya Israeli mpaka wakati usio na kipimo.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 7:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na Mfalme Sulemani akatoa dhabihu ya ng’ombe 22,000 na kondoo 120,000.+ Hivyo ndivyo mfalme na watu wote walivyoizindua+ nyumba ya Mungu wa kweli.

  • Ezra 6:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Nao wana wa Israeli, makuhani na Walawi+ na wengineo wa waliokuwa wahamishwa wa hapo zamani+ wakaizindua+ nyumba hii ya Mungu kwa shangwe.

  • Nehemia 12:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Nao wakawatafuta Walawi wakati wa kuzindua+ ukuta wa Yerusalemu, ili kuwaleta kutoka mahali pao pote kuja Yerusalemu kuzindua na kushangilia kwa kutoa shukrani+ na kwa kuimba,+ kwa matoazi na vinanda+ na kwa vinubi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki