1 Wafalme 8:63 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 63 Na Sulemani akaanza kutoa dhabihu za ushirika+ alizopasa kumtolea Yehova, ng’ombe 22,000 na kondoo 120,000,+ ili mfalme na wana wote wa Israeli waizindue+ nyumba ya Yehova.
63 Na Sulemani akaanza kutoa dhabihu za ushirika+ alizopasa kumtolea Yehova, ng’ombe 22,000 na kondoo 120,000,+ ili mfalme na wana wote wa Israeli waizindue+ nyumba ya Yehova.