Mambo ya Walawi 23:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “‘Hizi ndizo sherehe za majira+ za Yehova, mikusanyiko mitakatifu,+ ambazo mtatangaza katika wakati wake uliowekwa:+ 1 Mambo ya Nyakati 23:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 na kwa ajili ya kila toleo la dhabihu za kuteketezwa kwa Yehova katika sabato,+ katika miezi mipya+ na katika majira ya sherehe,+ kufuatilia hesabu kulingana na kanuni zenye kuzihusu, daima mbele za Yehova.
4 “‘Hizi ndizo sherehe za majira+ za Yehova, mikusanyiko mitakatifu,+ ambazo mtatangaza katika wakati wake uliowekwa:+
31 na kwa ajili ya kila toleo la dhabihu za kuteketezwa kwa Yehova katika sabato,+ katika miezi mipya+ na katika majira ya sherehe,+ kufuatilia hesabu kulingana na kanuni zenye kuzihusu, daima mbele za Yehova.