31 Walisaidia wakati wowote ambapo dhabihu za kuteketezwa zilitolewa kwa Yehova nyakati za Sabato,+ miezi mipya,+ na wakati wa sherehe za majira,+ kulingana na idadi iliyoamriwa katika sheria kuzihusu, nao walifanya hivyo kwa ukawaida mbele za Yehova.