Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 6:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Kwa habari ya Asafu+ ndugu yake, aliyekuwa akihudumu upande wake wa kuume, Asafu alikuwa mwana wa Berekia,+ mwana wa Shimea,

  • 1 Mambo ya Nyakati 25:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Tena Daudi na wakuu+ wa vikundi vya utumishi+ wakatenga kwa ajili ya utumishi sehemu ya wana wa Asafu, Hemani+ na Yeduthuni+ wenye kutoa unabii kwa vinubi,+ kwa vinanda+ na kwa matoazi.+ Na kutoka katika hesabu yao kukawa na wanaume rasmi kwa ajili ya utumishi wao.

  • 2 Mambo ya Nyakati 35:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na waimbaji+ wana wa Asafu+ walikuwa katika cheo chao kulingana na amri ya Daudi+ na ya Asafu+ na ya Hemani+ na ya Yeduthuni,+ mwonaji+ wa mfalme; na watunza-malango+ walikuwa katika malango mbalimbali.+ Hawakuhitaji kuacha utumishi wao, kwa sababu ndugu zao Walawi walikuwa wamewafanyia matayarisho.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki