1 Mambo ya Nyakati 9:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na watunza-malango+ walikuwa Shalumu+ na Akubu na Talmoni na Ahimani na kichwa alikuwa ndugu yao Shalumu, 1 Mambo ya Nyakati 26:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kati ya hii migawanyo ya watunza-malango, wanaume walio vichwa walikuwa na kazi sawasawa na ndugu zao walivyokuwa nayo,+ kuhudumu katika nyumba ya Yehova.
17 Na watunza-malango+ walikuwa Shalumu+ na Akubu na Talmoni na Ahimani na kichwa alikuwa ndugu yao Shalumu,
12 Kati ya hii migawanyo ya watunza-malango, wanaume walio vichwa walikuwa na kazi sawasawa na ndugu zao walivyokuwa nayo,+ kuhudumu katika nyumba ya Yehova.