Hesabu 10:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nao wana wa Haruni, kuhani, watazipiga tarumbeta,+ nazo zitakuwa sheria kwa ajili yenu mpaka wakati usio na kipimo katika vizazi vyenu. 1 Mambo ya Nyakati 16:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 na Benaya na Yahazieli makuhani wakiwa na tarumbeta+ daima mbele ya sanduku la agano la Mungu wa kweli. 2 Mambo ya Nyakati 29:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Basi Walawi wakaendelea kusimama wakiwa na vyombo+ vya Daudi, na pia makuhani wakiwa na tarumbeta.+
8 Nao wana wa Haruni, kuhani, watazipiga tarumbeta,+ nazo zitakuwa sheria kwa ajili yenu mpaka wakati usio na kipimo katika vizazi vyenu.
6 na Benaya na Yahazieli makuhani wakiwa na tarumbeta+ daima mbele ya sanduku la agano la Mungu wa kweli.
26 Basi Walawi wakaendelea kusimama wakiwa na vyombo+ vya Daudi, na pia makuhani wakiwa na tarumbeta.+