Kutoka 28:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 “Nao wana wa Haruni utawafanyia kanzu,+ nawe utawafanyia ukumbuu kila mmoja wao, nawe utawafanyia mavalio ya kichwani+ kwa utukufu na uzuri.+ 1 Samweli 22:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Mwishowe mfalme akamwambia Doegi:+ “Wewe geuka, uwashambulie makuhani!” Mara moja Doegi Mwedomu+ akageuka yeye mwenyewe na kuwashambulia hao makuhani, na siku hiyo akawaua+ watu 85 wenye kuvaa efodi+ ya kitani.
40 “Nao wana wa Haruni utawafanyia kanzu,+ nawe utawafanyia ukumbuu kila mmoja wao, nawe utawafanyia mavalio ya kichwani+ kwa utukufu na uzuri.+
18 Mwishowe mfalme akamwambia Doegi:+ “Wewe geuka, uwashambulie makuhani!” Mara moja Doegi Mwedomu+ akageuka yeye mwenyewe na kuwashambulia hao makuhani, na siku hiyo akawaua+ watu 85 wenye kuvaa efodi+ ya kitani.