Kutoka 39:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Kisha wakafanya zile kamba za kitani bora,+ ufundi wa mfumaji, kwa ajili ya Haruni na wanawe, Mambo ya Walawi 8:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Halafu Musa akawaleta karibu wana wa Haruni+ na kuwavika kanzu na kuwafunga ukumbuu+ na kuwafunga valio la kichwani,+ kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa. 1 Samweli 2:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Naye Samweli alikuwa akihudumu+ mbele za Yehova, akiwa mvulana, amejifunga efodi ya kitani.+
13 Halafu Musa akawaleta karibu wana wa Haruni+ na kuwavika kanzu na kuwafunga ukumbuu+ na kuwafunga valio la kichwani,+ kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa.